Social Icons

Thursday 18 June 2015

Tangazo Kwa Umma Kutoka Jeshi la Polisi:Jeshi la Polisi Tanzania linatangaza nafasi za ajira kwa mwaka wa fedha 2015/2016 kwa vijana wenye elimu ya vyuo vya elimu ya juu waliosomea ujuzi/fani mbalimbali toka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali na wahitimu wa kidato cha sita wa mwaka 2014 waliopitia Jeshi la Kujenga Taifa kwa mujibu wa sheria


Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Ernest Mangu.
--

No comments: