Social Icons

Monday 8 June 2015

CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM CHAWATUNUKIA TUZO DR MENGI,MILLARD AYO,SHERIA NGOWI , DIAMOND PLATINUMZ NA ZITO KABWE

Kwa wanavyuo wote watanzania popote Duniani Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Tumieni mtandao huu ni wenu nyote.



Mwenyekiti wa chama cha wanafunzi wanaosoma kitivo cha masoko cha chuo kikuu UDSM ( DUMA ) ndg DOcta Uliwmengu akitoa hotuba fupi ya ufunguzi wa kongamano la wanafunzi wanaosoma kitivo cha masoko na biashara lilifofanyika Jumamosi tarehe 6  hapa chuoni  UDSM na kukutanisha wanataaluma wengi pia wajasiriamali waliofanikiwa na kuweza kukutanisha vyuo mbalimbali ikwemo UDSM , IFM, CBE, na TIA


Mlezi wa chama cha wanafunzi   wanaosoma masomo ya biashara na masoko kutoka chuo kikuu UDSM Ndg David Rweikiza akiwakaribisha wanafunzi na wageni waalikwa katika Kongamano hili lilifonyika jumamosi tarehe 6 katika viwanja vya UDSM


Mmoja wa wanafunzi wa chuo kikuu Udsm akiuliza swali kwa Niki wa pili (hayupo pichani) ambaye alikuwa ni mzungumzaji katika kongamano hili huku akiwahamasisha vijana kujiajiri kwa kutumia vipaji na elimu zao


Mkurungezi wa taifa wa kaymu tz Ndg Morgan  akitoa elimu kuhusu biashara ya kutumia teknolojia ya mtandao na jinsi gani vijana wanaweza kutumia mtaji kidogo kuweza kutangaza na kuuza bidhaa zao


Wakili wa kujitegemea Ndg Alberto Msando akitoa elimu kwa wanafunzi na wajasiriamali kuhusu HATIMILIKI na jinsi gani wafanyabiashara waaweza kutunza hatimiliki zao katika biashara katika kongamano  lilifanyika katika chuo kikuu cha Dar es salaam na kuhudhurriwa na mamia ya wanafuzni wa udsm na vya karibu


Mkurungezi wa clouds media group Ndg Ruge Mutahaba alikuwepo pia katika kongamano hili akitoa elimu kuhusu nguvu ya vyombo vya habari kwenye tasnia ya masoko na biashara pia jinsi gani vijana wanaweza kutumia vipaji kujiajiri


Umati wa wanafunzi kuttoka chuo ikuu cha Dar es salaam na vyuo vya jirani ukisikiliza aamada kwa makini kutoka kwa wachangiaji mahiri na wanataluma ya masoko kwa muda mrefu wakihamasiha vijana waweze kujiaili kwa kutumia fursa nyingi za mitandao ya kijamiii


Mkurungezi wa Authentic media group Ndg Max Rioba akiwahamasiha vijana kuweza kutumia vipaji vyao kama sauti na kuweza kutengeeneza ajira 




Mwenyekiti wa chama cha wanafunzi wanaosoma kitivo cha masoko cha chuo kikuu UDSM ( DUMA ) ndg DOcta Uliwmengu akitoa historia fupi ya TUZO za ACHIVERS AWARDS  katika  kongamano la wanafunzi wanaaosoma kitivo cha masoko na biashara lilifofanyika Jumamosi tarehe 6  hapa chuoni  UDSM na kukutanisha wanataaluma wengi pia wajasiriamali waliofanikiwa na kuweza kukutanisha vyuo mbalimbali ikwemo UDSM , IFM, CBE, na TIA


Mkurunezi wa IPP media Dr Regnald  Mengi akitoa hamasa wanafunzi kwueza kutumia fursa kuweza kutengeneza mawazo ya kibiashara katika kongamano la wanafunzi wanaosoma masoko na biashara 
wanafunzi wakifautilia kwa makini kongamano hili la marketing forum lilifnayika mwisho ni wa juma hilii siku ya jumamosi katika chuo kikuu cha D ar es salaam



ukumbi mzima uliripuka kwa nguvu kufuatisha maneno aliyokuwa anayasema Dr Mengi             kuwa katika kitabu chake kipya anachotegemea kukizindua mwishoni mwa mwaka huu  yanayosema I WIL, I MUST and I CAN katika kongamano hili


Dr Kitila Mkumbo akipokea tuzo ya mwanasiasa anayependwa sana na mwenye mvuto kwa jamii ambayo tuzo ilienda kwa ZITTO KABWE


Mlezi wa chama cha wanasoma masoko katika  udsm ndg David Rweikiza akitoa tuzo kwa mwanamitindo anayependwa ambayo tuzo ilienda kwa sheria ngowi lakini ilichukuliwa na mwakilishi kwa kuwa sheria ngowi kuwa na safari ya kikazi south africa


Mkurungezi wa masoko wa VOdacom ndg Kelvin Twisa aktoa tuzo kwa mtangazaji  anayependwa  amaba  yo tuzo ilienda kwa MIlard ayo na anayemchukulia  Tuzo ni mmoja wa wafanyakazi wake anaitwa askofu katika kongamano la wanafunzi wa udsm


Mkurungezi wa AEG LTD ndg Iman kajula akitoa tuzo kwa Diamond platinumz kama msanii anayependwa na tuzo iliyochukuliwa na NIKI WA PILI kwa niaba yake kwani Diamond alikuwa nje ya nchi


Mkurungezi wa IPP media Dr Reginald Mengi akitoa shukrani kwa waandaaji wa tuzo hizi aliYoweza kushinda pia kwa wananchi wote waliopiga kura kufanikisha ushindi wake 


Picha ya pamoja ya washindi wa tuzo mbalimbali zilizotolewa mwishoni wa wiki hii siku ya jumamosi kaitika chuo kikuu cha Dar es salaam


Mkurungezi na mwanzilishi wa Mwanaharakati mzalendo  media pia Mkurungezi mtendaji wa kajo itech ambao walikuwa ni wadhamini rasmi wa kongamano hili  ndg Krantz Mwantepele akiongea na wanafunzi jinsi gani wanweza kufungua fursa za baishara na kuweza kujiajili kutumia mitandao ya kijamiii pia kuweza kutumia vizuri mitandao kupata  kujuana na marafki wa zamani na sasa
Mkurungezi na mwanzilishi wa Mwanaharakati mzalendo  media pia Mkurungezi mtendaji wa kajo itech ambao walikuwa ni wadhamini rasmi wa kongamano hili  ndg Krantz Mwantepele akiongea na wanafunzi jinsi gani wanweza kufungua fursa za baishara na kuweza kujiajili kutumia mitandao ya kijamiii pia kuweza kutumia vizuri mitandao kupata  kujuana na marafki wa zamani na sasa


Meneja masoko wa bRIGHTER monday akieleza kwa namna gani mtandao wao ( www.chochote.co.tz)huwezesha na kurahisha utafutaji wa nafasi za kazi pia waajili kutafuta waajiliwa wenye vigezo


Blogger na mtaalamu wa mitandao ya kijamii ndg Wiliam malecela Al maaruf kama LE MUTUZ akiwahamsiasha vijana kuwa na ari ya kujiajili wenyewe pia kuweza kutumia  kwa usahihi mitandao ya kijamii pia mabadiliko ya  tekno,lojia kuweza kutengeneza uzio mkubwa wa kujuana na watu  katika kongamano la wanafuzni wanaosoma masoko lilifanyika katika chuo kikuu UDSM.
Picha zote na habari kwa hisani ya MWANAHARAKATI MZALENDO MEDIA 

No comments: