Social Icons

Monday 9 February 2015

RAIS KIKWETE AKUTANA NA UONGOZI WA CHUO KIKUU CHA TUMAINI IKULU LEO


Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya pamoja na baadaye katika 
mazungumzo na uongozi wa juu wa Chuo Kikuu cha Tumaini Dar es salaam 
uliomtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo February 9, 2015. 
Ujumbe huo umeongozwa na Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la kilutheri 
Tanzania Dkt Alex Malasusa pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa shirika la
Nyumba la taifa (NHC) na Mwenyekiti wa Harambee ya chuo hicho ambacho
kinamilikiwa na kanisa la KKKT. 

PICHA NA IKULU
Kwa wanavyuo wote watanzania popote Duniani Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Tumieni mtandao huu ni wenu nyote.

No comments: