Social Icons

Monday 26 January 2015

MTANZANIA WA MIAKA 74 AHITIMU SHAHADA YA SHERIA CHUO KIKUU HURIA

BOFYA HAPA KU LIKE PAGE YETU>>
Lazaro Ole Kipeyan akisaidiwa kwenda kutunukiwa Shahada ya Sheria wakati wa Mahafali ya 27 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) huko Dodoma.
(picha: Sifa Lubai/Daily News)

Kwa wanavyuo wote watanzania popote Duniani Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Tumieni mtandao huu ni wenu nyote.

No comments: