Social Icons

Sunday 14 December 2014

MAHAFALI YA 12 YA CHUO CHA UHASIBU TANZANIA (TIA) YAFANA, JIJINI DAR ES SALAAM



Kikosi cha Bendi cha Jeshi la Magereza kikiongoza maandamano kuelekea uwanjani kwenye mahafali hayo.

 Wahadhiri wa Taasisi hiyo pamoja na mgeni rasimi wakiandamana kwenda uwanjani tayari kwa hafla hiyo.

 Wahitimu wakiandamana kwenda uwanjani tayari kwa hafla hiyo.
Meza kuu
 Mtendaji Mkuu wa Taasisi hiyo, Shah Hanzuruni akizungumza jambo

 
 Wahitimu wa Chuo cha Uhasibu Tanzania (TIA), wakiwa katika mahafali yao hayo.

 Baadhi ya wahitmu wa Chuo hicho, wakitunukiwa shahada zao wakati wa mahafali yao hayo.
 Wahitmu wakitunukiwa shahada zao wakati wa mahafali yao hayo.
 Wahitmu wakitunukiwa shahada zao wakati wa mahafali yao hayo.
 Wahitmu wakitunukiwa shahada zao wakati wa mahafali yao hayo.
 Mdau wetu Nicko Anthony baada ya kula nondo kwenye mahafali ya 12 ya Chuo cha Uhasibu Tanzania (TIA)
 
Mdau wetu Nicko Anthony(wa kwanza kushoto)  akiwa kwenye picha ya pamoja wahitimu wenzake
 Baadhi ya wahitimu wakiwa kwenye picha ya pamoja
  Mdau wetu Nicko Anthony akiwa kwenye picha ya pamoja na Teddy mara baada ya kumalizika kwa sherehe hizo
Baadhi ya wananchi waliofika kwenye mahafari hayo
Justine Kajerero(kushoto) akiwa pamoja na mdau wetu Nicko Anthony 

Kwa wanavyuo wote watanzania popote Duniani Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Tumieni mtandao huu ni wenu nyote.

No comments: